| MWANAMKE BOMBA | Jackline Wamuyu - Amevumbua dawa ya kulinda mimea
Katika Mwanamke Bomba wiki hii tunamuangazie mwanamke mmoja ambaye amevumbua dawa ya kiasili ya kuuwa wadudu wa mimea huko Laikipia. Jackline Wamuyu ambaye aliacha kazi ya ualimu na kuingilia shughuli hiyo ambayo ameifanya kwa msisimu kadhaa ya upanzi amejiimarisha na kuwainua wanawake wengine katika jamii.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
http://citizentv.co.ke
https://twitter.com/citizentvkenya
https://www.facebook.com/Citizentvkenya
https://plus.google.com/+CitizenTVKenya
https://instagram.com/citizentvkenya